Sign in to confirm you’re not a bot
This helps protect our community. Learn more
TBC: TANGAZO - UJENZI LAZIMA UFUATE SHERIA DAR
0Likes
36Views
May 272025
TANGAZO Ujenzi lazima ufuate sheria Dar Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam anapenda kuutarifu umma kuwa shughuli zote za ujenzi na uendeshaji wa ardhi zinazofanyika ndani ya Jiji zinapaswa kufuata sheria, kanuni na taratibu kama zilivyowekwa na Tangazo la Serikali Na. 242 la mwaka 2008 pamoja na mwongozo wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI kuhusu usimamizi wa ujenzi.

TBConline

457K subscribers