Sign in to confirm you’re not a bot
This helps protect our community. Learn more
#TBC1: WEKEZA TANZANIA: SHUHUDIA KIWANDA CHA KIMATAIFA CHA NYAMA TANZANIA
Kipindi hiki cha Wekeza Tanzania kinakupeleka moja kwa moja Mkoani Pwani, katika mradi uliosajiliwa na Kituo Cha Uwekezaji nchini TIC, ukashuhudie maendeleo ya uwekezaji wa kiwanda cha kimataifa cha Nyama Cha Union Meat, kinachomilikiwa na Wana Afrika Mashariki. Wekeza Tanzania ni kila jumanne saa 12:00 jioni TBC1 na marudio Jumatano 7:30 mchana na kwenye YouTube channel yetu ya TBCONLINE. Mtangazaji: Vumilia Mwasha Mwongozaji: Neligwa Mugittu Mdhamini: Azania Benki

TBConline

461K subscribers