Sign in to confirm you’re not a bot
This helps protect our community. Learn more
#TBC : NDANI YA BINTI MWENYE NDOTO KUNA UTHUBUTU
1Likes
50Views
Mar 202025
Kuelekea kongamano la thamani ya binti mwenye ndoto litakalofanyika Aprili 05. 2025 Mlimani City, Mkurugenzi wa Taasisi ya @voiceofeagle Meshack Mafyeko amesema kongamano hilo litatoa fursa kwa mabinti kupata elimu na mafunzo mbalimbali nafasi ya kushiriki kuhusu biashara na Uwekezaji ili kufikia ndoto zao. Uzinduzi huo umefanyika kwenye kumbi za mikutano za @hekimagarden nakuhudhuriwa na mlezi wa taasisi hiyo wakiwemo waandishi wa vitabu na wahamasishaji wa matukio.

TBConline

459K subscribers