Sign in to confirm you’re not a bot
This helps protect our community. Learn more
#TBC:WAZAZI WATAKIWA KUSHIRI KUIMARISHA MAADILI YA WATOTO
1Likes
71Views
Feb 182025
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imetoa wito kwa Jamii kujenga msingi imara wa uadilifu na uwajibikaji kwa watoto na kuachana na mila potofu za zamani ili kujenga kizazi bora chenye maadili thabiti kwa mustakabali wa taifa. Wito huo umetolewa na Afisa Maadili Mkuu wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini, Adam Kuhanda, wakati wa ziara yake ya kutembelea klabu za maadili kwenye shule tano za msingi na sekondari za wilayani Babati, mkoani Manyara vilivyoanzishwa na Sekretarieti hiyo.

TBConline

458K subscribers