Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imetoa wito kwa Jamii kujenga msingi imara wa uadilifu na uwajibikaji kwa watoto na kuachana na mila potofu za zamani ili kujenga kizazi bora chenye maadili thabiti kwa mustakabali wa taifa.
Wito huo umetolewa na Afisa Maadili Mkuu wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini, Adam Kuhanda, wakati wa ziara yake ya kutembelea klabu za maadili kwenye shule tano za msingi na sekondari za wilayani Babati, mkoani Manyara vilivyoanzishwa na Sekretarieti hiyo. …...more
...more
Show less