Historia Fupi ya Orchesre Safari Sound

17 years ago | 1867 reads
Kundi liliongozwa na mpiga mpini Ndala Kasheba. Machachari huyu alihamia Tanzania kutokea Zaire mwaka 1969 na kujiunga na hili kundi 1979. Bendi hii ilianza zambaratika wakati Kasheba alipojitoa.

Drafti

Chemsha bongo Uswahili

Hebu tuone utalaam wako

Cheza hapa