Globu ya Jamii ina furaha na fahari kumpongeza Rais wa nne wa Jamhuri ya Kenya-mteule Uhuru Muigai Kenyatta na mgombea mwenza na Makamu wa Rais wa Kenya-Mteule William Samoel Rutta kwa ushindi wake katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo jirani na rafiki. 

Ushindi huo si wenu peke yenu  bali pia ni wa watani wetu wa jadi wote. Kuna kila sababu Mwana wa Afrika Mashariki kusherehekea ushindi huo unaotarajiwa kupokelewa kwa nderemo na amani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. I love this President he is so confident

    ReplyDelete
  2. Ameacha ulevi?

    ReplyDelete
  3. Angalau wakenya tumepata handsome boy sasa lol

    ReplyDelete
  4. I like the guy, so smart, recall his speech, and he was not reading anywhere. Bravo Uhuru

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...