Globu ya Jamii ina furaha na fahari kumpongeza Rais wa nne wa Jamhuri ya Kenya-mteule Uhuru Muigai Kenyatta na mgombea mwenza na Makamu wa Rais wa Kenya-Mteule William Samoel Rutta kwa ushindi wake katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo jirani na rafiki.
Ushindi huo si wenu peke yenu bali pia ni wa watani wetu wa jadi wote. Kuna kila sababu Mwana wa Afrika Mashariki kusherehekea ushindi huo unaotarajiwa kupokelewa kwa nderemo na amani.
I love this President he is so confident
ReplyDeleteAmeacha ulevi?
ReplyDeleteAngalau wakenya tumepata handsome boy sasa lol
ReplyDeleteI like the guy, so smart, recall his speech, and he was not reading anywhere. Bravo Uhuru
ReplyDelete