Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary
Nagu (kati) pamoja na Mkurugenzi wa Mradi wa Superbrands Afrika
Mashariki, Bw Jawad Jaffer kwa pamoja wakimkabidhi cheti Mkurugenzi
Mtendaji wa Clouds Media Group,Bwa.Joseph Kusaga kwa Couds Fm redio
kuibuka na tuzo hiyo ya ubora kwa mara ya tatu mfululizo. Tukio hilo
lilifanyika hivi karibuni katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es
Salaam.
Mkurugenzi wa Mradi Superbrands Afrika Mashariki, Bw Jawad Jaffer akimkabidhi cheti kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Clouds Media Group,Bwa. Joseph Kusaga mara baada ya Clouds Fm Radio kuibuka na tuzo hiyo ya Superbrand kwa mara ya tatu mfululizo. Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.
Funny!? Isn't it? Or controversial!? Tume ya Maadili ya habari inawatoza Clouds FM Radio faini ya shilingi milioni tano (5 000 000) kwa utovu wa maadili huku Superbrands inawapa tuzo ya ubora!
ReplyDeleteJe, ni nani mtoazawadi, Superbrands au Clouds FM? Maana hiyo tuzo ina kichwa cha habari Clouds FM.
ReplyDeleteIngefana endapo hapo juu pangeandikwa Suprbrands Award kwa herufi kubwa hivyo; chini yake ikaonyesha mshindi wa mwaka!
wa-Tanzania na sisi!!!!!!!!!!!!!