Bondia Iddy Mnyeke akipambana na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala Amana CCM Dar es salaam. Mabondia hawo watapanda ulingoni kuwakabiri wapinzani wao ambapo Mnyeke atacheza na Cosmas Cheka na King class Mawe atazidunda na Mohamed Kashinde Desemba 31, 2013 katika ukumbi wa Msasani Club. Kulia ni kocha Mkongwe Habibu Kinyogoli 'Masta' Picha na Super D |
Home
Unlabelled
IDDY MNYEKE AMPANIA COSMAS CHEKA DESEMBA 31
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...