![]() |
Kaimu Konseli Mkuu katika ubalozi mdogo wa Tanzania Dubai Ndugu Omar Mjenga amewakaribisha kupata mawazo yao jinsi ya kuongeza idadi ya watanzania katika shirika hilo la Ndege la Emirates. Wadau hao wameweka mikakati ambayo itawawezesha kufikia Machi 2014 kupata Watanzania zaidi kujiunga na Shirika hilo. |
Home
Unlabelled
Ndugu Mjenga akutana na Watanzania wanaofanya kazi katika Shirika la Ndege la Emirates, apokea tuzo ya Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...