Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Majadiliano kama haya yanamanufaa yake kwa viongozi wetu Tanzania iwapo viongozi wetu pia wangekuwa wakitembelelea pande hizi ili kusikia vijana wa Ki-Tz wanavyochanganua mambo kisomi.
    Kwa kuongezea kunogesha kidogo mjadala ni kwamba yule jamaa aliyekaa kulia namba tatu anafanana kweli kweli na jamaa yetu, rafiki yetu tuliye naye hapa Sweden (Stocholm) "Zam". Sijui pengine ni mtu na kaka yake huwezi kujua dunia ni mduara. Utadhani ni Zam kabisaaaa!!!!
    - Mr Mhoja - Sweden

    ReplyDelete
  2. Mimi nahisi Tunapozungumzia Tanzania tunakosea kwa sababu Tanzania ni Tanganyika na Zanzibar na Wazanzibari wanasheria zao ambayo KATIBA ya Zanzibar inaeleza wazi kwamba mgeni yeyote haruhusiwi kumiliki ardhi isipokuwa Mzanzibari na sio Mtanzania yaani hata sisi watanganyika hatuwezi kumiliki ardhi Zanzibar na huu ni mfano mzuri tuu kwa hivyo ni lazima tuamke tuachane na mambo ya sio na mañana tusiseme watanzania tunamatatizo ya Kuuza ardhi ni Sisi Watanganyika tuu na sio Wazanzibari.

    ReplyDelete
  3. Wabongo kila siku tunalalama tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...