Baadhi ya wanachama na viongozi wa CCMwakifatilia mkutano huo |
Mmoja ya wanachama wa CCM wa kata ya jangwani Maaarufu kwa jina la mlipula na Nuguze akijitambulisha kwa wanachama wenzie |
wanachama wakimsikiliza mwenyekiti |
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Jangwani Mohamed Bawazir kulia akiteta jambo na Katibu Wake Majala Balawa wakati wa mkutano wa mustakabali mzima wa kata hiyo baaa ya kuongoza kwa miezi sita |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...