Sign in to confirm you’re not a bot
This helps protect our community. Learn more
HALI ILIVYO NDANI YA DIMBA LA BERKANE FAINALI ya CAFCC | RS BERKANE vs SIMBA SC
Hali ilivyo ndani ya Uwanja wa Manispaa ya Berkane muda mfupi kabla ya mchezo kuanza. Sehemu kubwa ya majukwaa ya Uwanja wa Manispaa ya Berkane imejaa na mashabiki wanaendelea kuingia uwanjani. Mashabiki wengi wa Berkane wamejitokeza kwa wingi uwanjani hapa kuisapoti timu yao katika mechi dhidi ya Simba. Mchezo huo ni wa mkondo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ambao umepangwa kuanza saa 2:00 usiku kwa muda ww Morocco sawa na saa 4:00 usiku kwa muda wa Tanzania. Mashabiki wa Berkane wamekuwa wakiimba nyimbo za kuisifu timu yao muda wote baada ya kuingia uwanjani. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

Mwananchi Digital

1.15M subscribers
Chat Replay is disabled for this Premiere.