Hii ni barabara itokatokayo Mwandiga kuelekea Manyovu Mkoani Kigoma,ikiwa ni moja ya barabara nzuri na ya kisasa kabisa katika Mkoa huo.Barabara hii inakwenda moja kwa moja hadi Mpakani mwa Tanzania na Burundi.Kiuweki ongezi nyingi zinapaswa kuifikia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwawezesha wananchi wake kufika kila mahala watakapo na kwa wakati wowote wapendao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa


  1. ni kweli huo mkeka lakini kutoka manyonvu mpaka kibondo utasanda mwenyewe wala huitaji kuambiwa kama ni mara yako ya kwanza basi utaomba poo

    ReplyDelete
  2. kwa kweli hizi picha za kigoma zimenifurahisha sana na imeonyesha ni jinsi gani tz ilivyo na rutuba ya kutosha, jamani tuitunze nchi yetu na vizazi vijavyo vikute huu utajiri. tuache ubinafsi

    ReplyDelete
  3. Nakubaliana na mdau wa pili hapo juu.... yaani kama kigoma nzima ina ukijani wa namna hii bomba sanaaa... mandhari mazuri sana

    ReplyDelete
  4. I love the cover tyre

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...