Hii ni barabara itokatokayo Mwandiga kuelekea Manyovu Mkoani Kigoma,ikiwa ni moja ya barabara nzuri na ya kisasa kabisa katika Mkoa huo.Barabara hii inakwenda moja kwa moja hadi Mpakani mwa Tanzania na Burundi.Kiuweki ongezi nyingi zinapaswa kuifikia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwawezesha wananchi wake kufika kila mahala watakapo na kwa wakati wowote wapendao.
Home
Unlabelled
Mkeka wa Nguvu kutoka Mwandiga mpaka Manyovu mkoani Kigoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ReplyDeleteni kweli huo mkeka lakini kutoka manyonvu mpaka kibondo utasanda mwenyewe wala huitaji kuambiwa kama ni mara yako ya kwanza basi utaomba poo
kwa kweli hizi picha za kigoma zimenifurahisha sana na imeonyesha ni jinsi gani tz ilivyo na rutuba ya kutosha, jamani tuitunze nchi yetu na vizazi vijavyo vikute huu utajiri. tuache ubinafsi
ReplyDeleteNakubaliana na mdau wa pili hapo juu.... yaani kama kigoma nzima ina ukijani wa namna hii bomba sanaaa... mandhari mazuri sana
ReplyDeleteI love the cover tyre
ReplyDelete