Meneja Masoko na udhamini wa TBL group, George Kavishe akiwa katika Uwanja wa Spartak jijini Moscow nchini Urusi pamoja na washindi wa ticket za Kombe la dunia kutoka Tanzania kupitia bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakiendelea kufuatilia mechi za Michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Urusi.



Meneja Masoko na udhamini wa TBL group, George Kavishe akila selfie na baadhi ya washindi wa ticket za Kombe la dunia kutoka Tanzania kupitia bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakiendelea kufuatilia mechi za Michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Urusi.


Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...