Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.
Dkt Hussein Mwinyi, Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo, Mkuu wa JKT
Meja Jenerali Martin Busungu wakifunua pazia kuashiria kuzinduliwa rasmi kwa
kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es
salaam leo Mei 17, 2018. Kituo kicho kina viwanda vya ushonaji na maji ya
kunywa pamoja na Shule ya Sekondari ya Jitegemee na Ukumbi wa kisasa wa
Mikutano.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akitembela kiwanda cha
ushonaji nguo baada ya kuzindua rasmi kituo cha uwekezaji cha JWTZ
kupitia SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2018. Kituo
kicho kina viwanda vya ushonaji na maji ya kunywa pamoja na Shule ya Sekondari
ya Jitegemee na Ukumbi wa kisasa wa Mikutano.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia sare za
kijeshi zinazoshinwa na kiwanda cha ushonaji nguo baada ya kuzindua rasmi
kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es
salaam leo Mei 17, 2018. Kituo kicho kina viwanda vya ushonaji na maji ya kunywa
pamoja na Shule ya Sekondari ya Jitegemee na Ukumbi wa kisasa wa Mikutano.
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia sare za kijeshi zinazoshinwa na kiwanda cha ushonaji nguo baada ya kuzindua rasmi kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2018. Kituo kicho kina viwanda vya ushonaji na maji ya kunywa pamoja na Shule ya Sekondari ya Jitegemee na Ukumbi wa kisasa wa Mikutano.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akitoka kutembelea kiwanda cha ushonaji nguo baada ya kuzindua rasmi
kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es
salaam leo Mei 17, 2018. Kituo kicho kina viwanda vya ushonaji na maji ya kunywa
pamoja na Shule ya Sekondari ya Jitegemee na Ukumbi wa kisasa wa Mikutano.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi
Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bidhaa za kiwanda cha kutengeneza maji ya kunywa
ya UHURU PEAK baada ya kuzindua rasmi kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia
SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi
Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akikagua utengenezaji wa maji ya kunywa katika kiwanda cha kutengeneza maji ya kunywa
ya UHURU PEAK baada ya kuzindua rasmi kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia
SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2018.
Maji ya kunywa ya UHURU PEAK yanayotengenezwa katika kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli
akinywa maji yaliyotengenezwa na kiwanda cha kutengeneza maji ya kunywa
ya UHURU PEAK baada ya kuzindua rasmi kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia
SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2018.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli
akinywa maji yaliyotengenezwa na kiwanda cha kutengeneza maji ya kunywa
ya UHURU PEAK baada ya kuzindua rasmi kituo cha uwekezaji cha JWTZ kupitia
SUMA-JKT kilichopo Mgulani jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2018. PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...