Makamishna wastaafu
wa Jeshi la Polisi, Clodwing Mtweve na Elice Mapunda wakiwaaga Maofisa na
Askari Polisi huku wakisukumwa katika gari maalumu wakati wa Gwaride
lililoandaliwa kwa ajili ya kuwaaga rasmi baada ya kustaafu utumishi ndani ya
Jeshi la Polisi.Gwaride hilo lilifanyika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es
Salaam .
Mkuu wa Jeshi la
Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na IGP Mstaafu Omar Mahita wakati
hafla maalum ya kuwaaga Makamishna
wastaafu wa Jeshi la Polisi, Clodwing Mtweve na Elice Mapunda katika Chuo cha
Taaluma ya Polisi Dar es Salaam. (Picha na Jeshi la Polisi).
Kamishna Mstaafu wa
Polisi Clodwing Mtweve akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake wakati
wa hafla maalum ya kumuaga baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la Polisi.
Hafla hiyo ilifanyika katika Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es
Salaam (Picha na Jeshi la Polisi).
Makamishna wastaafu
wa Jeshi la Polisi, Clodwing Mtweve na Elice Mapunda wakiwa katika picha ya
pamoja wakati wa hafla maalum ya kuwaaga rasmi Jeshini baada ya kustaafu
utumishi ndani ya Jeshi la Polisi. Hafla hiyo ilifanyika katika Chuo cha
Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (Picha na Jeshi la Polisi).
Askari wa Kikosi cha
Kutuliza ghasia FFU wakitoa heshima wakati
wa gwaride maalam la kuwaaga Makamishna wastaafu wa Jeshi la Polisi,
Clodwing Mtweve na Elice Mapunda baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la
Polisi. Hafla hiyo ilifanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam
(Picha na Jeshi la Polisi).
Mkuu wa Jeshi la
Polisi nchini IGP Simon Sirro akifurahia jambo na Makamishna wastaafu Clodwing
Mtweve (katikati) na Elice Mapunda (kushoto) wakati wa hafla maalum ya kuwaaga
baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la Polisi. Hafla hiyo ilifanyika
katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (Picha na Jeshi la Polisi).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...