Home
Unlabelled
umbea wa nathan mpangala
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wakurya vichwa maji sana! au wana laana? kila kukicha ni mauaji!
ReplyDeleteThis is a very serious social problem!Tusilichukulie kimzaha,litahitaji "Operesheni Maalum ya Kitaifa" katika nyanja zote,itakayo elekezwa Mkoani Mara,katika wilaya zote!Lakini kiini chake kabisa ni "Ujinga na Umaskini".Tutafute dawa yake,wala sio kutumia mabavu au vitisho!Kuna matatizo ya "mila zilizo pitwa na wakati";kuna tatizo la umaskini wa kipato uliokithiri;kuna tatizo kubwa la adui Ujinga;na kuna hisia potofu za wana mara kujiona "wametengwa kimaendeleo"(historical factors).Tusiendelee kushangaa au kulalamika,huu ni wakati wa kuchukua hatua za dhati katika kukabiliana na Janga hili la Kitaifa!Hebu NGOs nyingi zaidi zijichimbie mkoani Mara.Hebu Viongozi wa Dini na madhehebu mbalimbali yaelekeze nguvu zao mkoani Mara;hebu serikali yetu iongeze nguvu ya miradi ya maendeleo mkoani Mara;hebu viongozi wa kimila na wa vitongoji vya mkoani Mara wapelekwe mara kwa mara nje ya mkoa wao wakone wenzao wanaishi vipi,na wanaongoza vipi jamii zao,ili watakapo rudi waone aibu kuendelea na utaratibu wa maisha uliopitwa na wakati;wazitambue fursa walizo nazo;lakini na serikali yenyewe iache mara moja kupuuzia matakwa ya wana mara,kwamfano,kupewa leseni za kuchimba dhahabu Buhemba na kwingineko!Nguvu ya Pamoja itashinda!
ReplyDelete