Kiongozi msaidizi wa HDIF  Joseph Manirakiza akifungua rasmi mshindani hayo ya mwisho kwa timu 12 za  madkatari wanafunzi wanaoshindanishwa ili kupata timu 10 zitakazo pata seed fund toka HDIF.
 Timu ya Afya Plus iliyoa huruma ya kufanya vipimo vya urefu uzito BP na Kisukari katika eneo la tuko.
 Baadhi ya tiny zilizofika fainali toka mchakato huu ulipoanza na mawazo zaidi ya 350 mpaka kufikia 12 zilizoingia fainali.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...