Katibu wa CCM,Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Kata ya Muriet jijini Arusha wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za udiwani wa Kata hiyo leo,amewataka wananchi kuwachagua wagombea wa CCM kwenye Kata 43.

Aliyekuwa Kada wa Chadema akiwa ameshika kadi na bendera za chama hicho baada ya wanachama 91 kurejea CCM katika mkutano wa kufunga kampeni kata ya Muriet jijini Arusha leo. 
Wafuasi wa CCM wakifurahia hotuba ya Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana katika mkutano wa kufunga kampeni kata ya Muriet jijini Arusha leo 
Wakili msomi Albert Msando akiunguruma kwenye mkutano wa kufunga kampeni kata ya Muriet jijini Arusha leo,Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana
Katibu wa Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea kadi za CHADEMA baada ya kupokea wanachama wapya 91 waliojiunga na CCM leo katika mkutano wa kufunga kampeni kata ya Muriet jijini Arusha leo 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...