Aliyesimama ni mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Paul Chaote akifunga mafunzo kwa wandishi wa habari mwishoni mwa wiki Mkoa wa kigoma (hawapo Pichani) juu ya kuelimisha wananchi umuhimu wa huduma endelevu ya Afya ya mama na mtoto kigoma kwa lengo la kupunguza Vifo vitokanavyo na uzazi ambapo kwa mwaka 2016 wanawake wajawazito 96 Kati ya vizazi 
Katibu wa Chama Cha Wandishi wa Habari Kigoma Fadhili Abdallah leo kigoma Ujiji Akitoa shukrani kwa wadau wa Afya ( Bloomberg Philanthropies,Thamini uhai na Ingender Health) kwa kuwajengea awesome Wandishi wa humo juu ya uandishi wa habari za afya .Picha na Magnets Magosso Kigoma Ujiji.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...