Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Anastazia Wambura(aliyekaa katikati) pamoja na baadhi ya Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wakiwemo wengine toka Wizarani wakiwaangalia vijana wa Serengeti Boys wanaochipukia katika Viwanja vya Karume 18 Septemba, 2017 Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Anastazia Wambura(kushoto) akisalimiana na Kocha Kim Paulsen wakati alipotembelea ofisi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) 18 Septemba, 2017 Jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-WHUSM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...