Pamoja na kwamba Serikali imekuwa ikipiga vita sana ukataji wa Miti hovyo,lakini imekuwa tofauti kwa aliepanga kuni hizi kwa lengo la kuziuza kama kamera yetu ilivyozikuta katika eneo la Bunju A,jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kupinga ukataji miti ni rahisi lakini cha muhimu ni kutoa mbadala. Tuna gesi sasa kwa wingi sirikali iondoe kodi kwenye gas cookers zote, pia ikiwezekana i subsidize hizo gas cookers, iwapunguzie kodi au iwawezeshe wasambazaji wa gesi na hizo cookers kote nchini. Wakiisha fanya hivyo sidhani hata kama kunamtu atakuwa na haja ya kukata kuni tena wala kupikia mikaa tena isipokuwa kwa hamu tu nayenyewe kwa nadra.

    ReplyDelete
  2. I agree Anonymous.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...