Habari zilizonifikia hivi punde zinaeleza kwamba aliyekuwa Jaji wa Mahakama kuu, Jaji Upendo Msuya (pichani), amefariki dunia alfajiri ya leo nyumbani kwake Tegeta jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu. Msiba upo nyumbani kwa marehemu Tegeta.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...