Image result for MATUNZO YA MTOTO

Na Bashir Yakub
Wazazi  wanapokuwa  wametengana  matunzo  ya mtoto  ni  jambo  jingine  linaloleta    faraka  kubwa. Nani  anawajibu  wa  kutoa  matunzo  ya mtoto,  na  matunzo  yenyewe  ni  kiasi  gani  hubaki  kuwa  kiini  cha  ugomvi.

Wapo  wanaotoa  lakini  anayepewa  anasema  anapewa  kidogo.  Anayetoa  naye  anasema  natoa  kidogo  kwasababu  sina. Huyu  naye  anauliza  kama  huna  kwanini  ulizaa. Mambo  kama  hayo  na mengine  mengi  yanayofanana  na  hayo.

Basi  katika  kupitia  Sheria  namba  21, Sheria  ya  mtoto  ya  mwaka  2009   tutatizama   nani  anatakiwa  kutoa matunzo  ya  mtoto  halikadhalika  ni  kiasi  gani  kinatakiwa  kutolewa.  Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...