Mbunge wa Viti Maalum Mbeya, Mary Mwanjelwa akinyoosha mikono juu pamoja na wageni wengine wa meza kuu katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake mjini Mbeya.
 Mbunge wa Viti Maalum Mbeya, Mary Mwanjelwa akipiga makofi wakati wa mahadhimisho ya Siku ya Wanawake mkoa wa Mbeya.
Mbunge wa Viti Maalum Mbeya mjini, Dkt. Mary Mwanjelwa akiwa kajumuika na kina mama wenzake katika burudani, wahati wa hafla ya kuadhimisha siku ya wanawake mkoani mbeya

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...