Mkaguzi wa Magari wa Jeshi Polisi , Ibrahim Samwix akikagua basi la leo yenye namba za T 735 DFX usajili katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
Mkaguzi wa magari wa Polisi Sajeti , Elisante Bulla akikagua basi la kampuni ya Imo yenye namba za usajili T 773 CVX ambapo alibaini kukosa mikanda na kuirudisha ndani ya kituo cha mabasi Ubungo leo jijini Dar es Salaam.
Mkaguzi wa magari wa Polisi Sajeti , Elisante Bulla akikagua basi la kampuni ya Islam na kubaini kukosa langi katika mgongo wa basi hilo na kung’o namba za usajili ili wakapake rangi katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo leo jijini Dar es Salaam. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...