Pichani ni baadhi ya Wanahabari na Wapiga picha nguli hapa nchini wakiwa katika picha ya pamoja na mchezaji bora wa soka Barani Afrika wakati huo, George Weah (wa tatu kulia) alipokuja Dar es salaam miaka hiyo. Je kuna yeyote unaweza kumtambua katika picha hii??.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Nimewatambua Muhdin Issa Michuzi, Shy-Rose Bhanji na Aboubakar Liongo

    ReplyDelete
  2. Shy Roze Banji, Issa Michuzi ,Juma Pinto ,Abubakl Lyongo ,Majura ,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...