Mbunge wa Mafia Mhe Mbaraka Dau akiwa na wawekezaji kutoka Oxford, Uingereza, leo asubuhi wakiwa katika gati la Kilindini huko Mafia, mkoa wa Pwani. Wawekezaji hao, kwa mujiu wa Mhe dau, wameonesha nia ya kuwekeza katika usafiriwa majini, ambapo wana mpango wa kuleta boat ya kisasa kurahisisha usafiri kutoka Kilindoni hadi Nyamisati katika mkoa wa pwani

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...