Wananchi wakimbeba Mbunge wa Igunga mkoani Tabora, Dk. Dalally Peter Kafumu kumpeleka jukwaani, wakati wa mkutano wa mapokezi yake, jimboni humo uliofanyika leo kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Igunga. Dk. Kafumu amerejeshewe ubunge na mahakama kuu baada ya kukata rufani kufuatia awali kuvuliwa pia na mahakama baada ya Chadema kwenda mahakamani aliposhinda katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo uliofanyika mwaka juzi.
 Waendesha bajaji wakimsubiri Dk. Kafumu nje ya mji wa Igunga wakati walipowasili leo
 Msafara wa Dk. Kafumu, ukiongozwa na pikipiki na bajaji baada ya kuwasili mjini Igunga leo
 Dk. Kafumu akiwa na Nape wakati wa mapokezi hayo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...