Kuhusu Marquiz Original

17 years ago | 2048 reads
Kundi hili lilianzishwa mwaka 1966 huko Congo likijulikana kama Orchestre Super Gabby. Mwaka 1972 kundi lilibadili jina na kuhamia moja kwa moja Tanzania baada ya kuwa maarufu zaidi huko. Leo kundi hili linajumuisha wanamuziki zaida ya 40, na bado ni maarufu sana Tanzania. Mwanzilishi na kiongozi Chinyama Chainza alifariki 1985, na kurithiwa na Nguza Mbangu (Nguza Viking). Naye alijitoa kwenye kundi 1987. Mpiga mpini Dekula Kahanga (aka Vumbi) alichukua nafasi yake na kulifufua kundi.

Drafti

Chemsha bongo Uswahili

Hebu tuone utalaam wako

Cheza hapa